MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Kanisa CAG Kuombea Uchaguzi Mkuu 2025
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Kanisa CAG Kuombea Uchaguzi Mkuu 2025
Habari

Kanisa CAG Kuombea Uchaguzi Mkuu 2025

Author
By Author
Share
2 Min Read
Na Mwandishi Wetu
DODOMA: KANISA la Mlima wa Nuru Calvary Assembeles of God (CAG) lililopo Chamelo Nzuguni B Jijini Dodoma limeanzisha maombi ya kimkakati kwa ajili ya kufanikisha Uchaguzi Mkuu wa amani na upatikanaji wa viongozi sahihi ifikspo Oktoba 2025.
Katibu wa Kanisa hilo, Dkt. Mussa Aliingonoti amesema hayo, wakati wa matangazo kwa waumini na kueleza kuwa ni wajibu wa kanisa kuliombea taifa hususani kwa kipindi ambacho kinaelekea katika uchaguzi mkuu.
Amesema kanisa hilo limekuwa na maombi ya kimkakati ikiwa ni pamoja na maombi ya kuliombea kanisa la mahali pamoja  na watumishi kwa ujumla sambamba na kuombea ujenzi wa kanisa linalotarajiwa kuanza hivi karibuni.
Dk.Alingiinoti amesema kanisa linalo wajibu mkubwa wa kuhakikisha linaomba kwa maana ya kuhusimika ufalme wa Mungu duniani kwa kuyaombea makundi mbalimbali pamoja na kuliombea taifa kwa ujumla wake ili kwa na viongozi sahihi ambao ni wacha Mungu.
“Kanisa la Mlima wa Nuru limeamua kuanzisha maombi ya kimkakati kwa nia ya  kuliombea kanisa na kuombea ujenzi wa kanisa jipya pamoja na kuliombea taifa na uchaguzi mkuu ambao unatarajiwa kufanyika mwaka huu  kwa nia ya kuwapata madiwani,wabunge na Rais pamoja na viongozi mbalimbali wa ngazi ya  kuchaguliwa.
“Kwa sasa tunaelekea katika maandalizi ya uchaguzi mkuu wa kuwapata viongozi wa kada mbalimbali na ili kupata viongozi walio wema na wenye sifa na wenye hofu ya Mungu ni lazima kufanya maombi kwa ajili ya kupata viongozi waliowacha Munu,” amesema.
Amehimiza waumini kufanya maombi kwa dhati ili kuliombea kanisa, jamii na taifa, kupata viongozi wenye hofu ya Mungu na wale ambao hawatakuwa kwazo kwa taifa.

You Might Also Like

COSTECH Yasaini Mkataba Ujenzi Jengo La Sayansi, Teknolojia, Ubunifu

Maliasili Yapongezwa Kwa Kutekeleza Maono Ya Rais Samia  

Spika Tulia Aunguruma UDSM, Kongamano La Uhuru Wa Wana Taaluma Afrika.

Waandishi wa Habari wa Afrika wapata mafunzo ya Kuandika Habari za Uhamiaji

TARURA Dar Yaendelea Na Ujenzi Wa Miundombinu Ya Barabara Iliyosimama Kutokana Na Mvua

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Kikwete: Waambieni Tunataka Maendeleo Sio Maneno
Next Article Rais Samia Aridhia Malipo Ya Fidia Barabara Ya Afrika Mashariki
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

TPHPA Yaleta Mapinduzi Mapya Katika Kilimo Kupitia Teknolojia ya Vinasaba
Habari August 7, 2025
Tulia Atoa Taarifa Kifo Cha Ndugai
Habari August 6, 2025
Tume ya Kurekebisha Sheria Yaelimisha Umma Kuhusu Haki za Wanyama
Habari August 6, 2025
Bundi Wasaidia Kupambana na Panya: Teknolojia Asilia Inayobadili Maisha ya Wakulima
Habari August 6, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?