MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Dodoma Yazizima Wakati Samia, Nchimbi  Wakichukua Fomu Ya Urais
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Dodoma Yazizima Wakati Samia, Nchimbi  Wakichukua Fomu Ya Urais
Habari

Dodoma Yazizima Wakati Samia, Nchimbi  Wakichukua Fomu Ya Urais

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read
Na Danson Kaijage
DODOMA:  WANANCHI katika Jiji la Dodoma, wamejitokeza kwa wingi kumlaki Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan, pamoja na mgombea mwenza wake, Dkt. Emmanuel Nchimbi, mara baada ya kuchukua fomu ya kugombea nafasi ya Urais.
Tukio hilo limekuja baada ya Tume Huru ya Uchaguzi (INEC) kutangaza ratiba ya uchukuaji wa fomu kwa wagombea wa nafasi ya Urais, Ubunge na Udiwani.
Kwa mujibu wa ratiba hiyo, uchukuaji wa fomu kwa nafasi ya Urais umeanza Agosti tisa,  na unatarajiwa kukamilika Agosti 27, 2025, huku fomu za Ubunge na Udiwani zikitolewa kuanzia Agosti 14 hadi Agosti 27, 2025.
Samia Suluhu Hassan amekuwa mgombea wa kwanza kuchukua fomu ya Urais kupitia chama chake, CCM, akifuatana na mgombea mwenza wake, Dk. Nchimbi.
Shangwe na nderemo vilitawala maeneo mbalimbali ya Dodoma, hasa katika jengo la Makao Makuu ya CCM, ambako mamia ya wananchi walikusanyika kushuhudia tukio hilo. Wasanii maarufu akiwemo Dulla Makabila na vikundi mbalimbali vya burudani walikuwepo kusherehesha mapokezi hayo, hali iliyozidisha hamasa ya tukio hilo la kisiasa.
Akizungumza na waandishi wa habari, Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) wa CCM anayeshughulikia Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Amos Makalla, amesema zoezi la uchukuaji wa fomu kwa wagombea wa Urais lilianza rasmi saa 4:50 asubuhi, kwa kuzingatia taratibu zilizowekwa na tume hiyo.

You Might Also Like

Boti yazama abiria 14 kati ya 21 waokolewa

Serikali Yaweka Mkazo Kukuza Tasnia Ya Ufugaji Wa Kuku

Aloe Dorotheae, Mmea Unaopatikana Tanzania Pekee

Singida Yapokea Zaidi Ya Milioni  Moja 

Watu Milioni 300 Afrika Kutumia Nishati Ya Umeme Ifikapi 2030-Biteko

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Dkt. Mushongi: Mahindi Ni Nguzo Kuu ya Uchumi na Usalama wa Chakula
Next Article SADC Yasisitizwa Kuhusu Safari ya Ukombozi wa Kiuchumi
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Madaktari Kutoka Ireland Watoa Matibabu Ya Mifupa Kwa Watoto MOI
Habari October 20, 2025
Mwalim: Nikichaguliwa urais, Kigaila atakuwa Waziri Mkuu wangu
Habari October 20, 2025
ARTICLE 19,  JOWUTA KUSHIRIKIANA KUIMARISHA HAKI ZA WANAHABARI
Habari October 18, 2025
Profesa Ndunguru Aongoza Kikao Cha Mawaziri Wa DLCO- EA Akimwakilisha Bashe
Habari October 17, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?