MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: CWT Yatoa Wito Kwa Walimu Kujitokeza Kupiga Kura Oktoba 29 
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > CWT Yatoa Wito Kwa Walimu Kujitokeza Kupiga Kura Oktoba 29 
Habari

CWT Yatoa Wito Kwa Walimu Kujitokeza Kupiga Kura Oktoba 29 

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read
Yasisitiza Walimu Kuwa Kioo Cha Jamii Kushiriki Katika Maamuzi Ya Maendeleo Ya Taifa
Na Lucy Ngowi
DAR ES SALAAM: CHAMA cha Walimu Tanzania (CWT) kimetoa wito kwa walimu na watanzania kwa ujumla kujitokeza kwa wingi kushiriki katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29, 2025, kikisisitiza umuhimu wa kutimiza haki ya kikatiba ya kuchagua viongozi bora watakaolinda maslahi ya wananchi.
Rais wa CWT Suleiman Ikomba ameeleza hayo alipozungumza na walimu.
Ikomba amesema ni wajibu wa walimu, kama kioo cha jamii, kuongoza kwa mfano kwa kuwahamasisha watanzania wote kushiriki kikamilifu katika uchaguzi huo muhimu.
Habari Picha 10142
“Ni lazima tuonyeshe mfano kwa jamii. Walimu ni kioo cha jamii, hivyo tunapaswa kuwahamasisha wananchi kutimiza haki yao ya msingi ya kupiga kura ili kuchagua viongozi watakaotuweka kwenye njia sahihi ya maendeleo,” amesema.
Ameongeza kuwa katika kipindi cha miaka mitano ijayo, CWT inalenga kuwa chombo kinacholeta matumaini mapya kwa walimu na kusaidia kuimarisha heshima ya taaluma ya ualimu nchini.
“Tunahitaji viongozi watakaoweka mbele maslahi ya walimu na kuifanya CWT kuwa chachu ya maendeleo kwa serikali na jamii. Serikali na jamii itaona CWT kama mshirika muhimu katika kuleta maendeleo ya nchi yetu,” amesema.
Chama hicho kimerejea dhamira yake ya kushirikiana na serikali na wadau wote wa maendeleo kuhakikisha walimu wanaendelea kuwa nguvu ya mabadiliko chanya katika jamii.

You Might Also Like

JMAT Yatoa Neno Yanayoendelea Kwa Vijana Wa Kenya

AU yataka vyombo vya habari Afrika, kulinda Uhuru wa vyombo vya habari 

Kipaji pekee hakitoshi katika kufanya kazi za kihabari – Kipangula

Uchaguzi Mkuu 2025: Majimbo Mapya Nane Yaanzishwa, 12 Yabadilishwa Majina

Majaliwa Apongeza Jeshi La Magereza Kurasimisha Ujuzi Kwa Wafungwa

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Serikali Kuja Na Mwongozo Wa Kuimarisha Ushirikishwaji Jamii Katika Masuala Ya Afya
Next Article CHAUMMA YAAPA KUJENGA BUNGE LA WABUNGE WA HOJA, SI MACHAWA
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Mgombea Urais Wa CCM, Dkt. Samia Aendelea Na Kampeni Temeke
Habari October 23, 2025
CHAUMMA Yalia na Umaskini Katikati ya Utajiri wa Dhahabu
Habari October 23, 2025
MWALIM AOMBA WATANZANIA KUMWOMBEA WIKI YA MWISHO KUELEKEA UCHAGUZI
Habari October 23, 2025
VIONGOZI WA DINI WAONYA: ‘TUMIENI BUSARA, LINDENI AMANI WAKATI WA UCHAGUZI’
Habari October 22, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?