MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: CPC chatambua juhudi za Rais Samia
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > CPC chatambua juhudi za Rais Samia
Habari

CPC chatambua juhudi za Rais Samia

Author
By Author
Share
2 Min Read
Na Lucy Ngowi
CHAMA cha Kikomunisti cha China (CPC), kimesema chama hicho na serikali yake kinatambua juhudi kubwa za kuleta maendeleo zinazofanywa na Rais Samia
Suluhu Hassan nchini Tanzania.
Hayo yameelezwa na Waziri wa Idara ya Mambo ya Nje wa CPC, Liu Jianchao alipokutana na kuzungumza na Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi ( CCM), Dkt. Emmanuel Nchimbi, katika Makao Makuu ya Ofisi za Idara ya Mambo ya Nje ya CPC, Jijini Beijing China leo.
Jianchao amesema kuwa chini ya uongozi wa Rais Samia, Tanzania imekuwa na
mabadiliko makubwa, yanayoonekana katika nyanja zote za viashiria vya ukuaji uchumi.
Balozi Nchimbi, pamoja na
Kufikisha salamu za Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Tanzania, Samia, amesema kuwa CCM, Serikali zake mbili na Tanzania kwa ujumla wanaichukulia China, ni mojawapo ya mifano ya kuigwa.
Dkt. Nchimbi amesema chini ya uongozi wa Rais Xi Jinping, CPC imeweza kuiongoza China kupiga hatua za maendeleo makubwa kwa kipindi cha miaka 10 iliyopita.
“Kupitia mazungumzo hayo, Balozi Nchimbi na Jianchao, wamerejea msingi imara wa
uhusiano wa vyama vyao na nchi hizi mbili, tangu wakati wa uongozi wa Baba wa Taifa
Mwalimu Julius Nyerere na Mwenyekiti Mao Zedong,
.
“Wamekubaliana umuhimu wa
kuendelea kuimarisha udugu huo wa kirafiki, kwa ajili ya manufaa ya Tanzania na China,” imesema taarifa iliyotolewa na Katibu wa NEC, Siasa na Uhusiano wa Kimataifa Rabia Hamid.
Taarifa hiyo imesema Mkutano huo wa
Balozi Nchimbi na Jianchao ni sehemu ya ratiba ya ziara ya Ujumbe wa Viongozi wa CCM nchini China, iliyoanza Agosti 24, 2024, inayolenga kuendeleza na
kuimarisha zaidi urafiki wa kihistoria kati ya vyama vya CCM na CPC na uhusiano wa
kidiplomasia kati ya Tanzania na China, ambao umedumu kwa miongo sita sasa.

You Might Also Like

Rais Samia azindua bwawa la umwagiliaji Mtibwa

Muswada kuja wa Watumishi Wanaofanya Kazi Eneo Zaidi ya Moja Kuanza kuchangiwa na Waajiri Wote

TPHPA yakusanya zaidi ya sampuli 10,000 za mbegu asili

Profesa Ndunguru: Mabadiliko Sekta ya Kilimo Yanaenda Sambamba na Uwekezaji Katika Utafiti

Maandalizi Mei Mosi Yapamba Moto Singida

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article RAAWU yapokea migogoro 16, yaishughulikia
Next Article TUGHE: Wafanyakazi wapewe haki ya kujiunga vyama vya wafanyakazi
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Uongozi CHADEMA Kanda Ya Kati Upo Imara
Habari May 18, 2025
Msisubiri Kupewa Amri, Ufanyaji Usafi Kwenye Maeneo Yenu – Lugendo
Habari May 18, 2025
Akili Bandia Yachochea Ushirikiano Kati Ya China, Afrika
Makala May 18, 2025
Madaktari Toka China Waleta Matumaini Barani Afrika
Makala May 16, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?