MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: China Yaendelea Kunufaisha Afrika, Wakati Marekani Ikikatiza Uwekezaji Katika Bara Hilo
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > China Yaendelea Kunufaisha Afrika, Wakati Marekani Ikikatiza Uwekezaji Katika Bara Hilo
Habari

China Yaendelea Kunufaisha Afrika, Wakati Marekani Ikikatiza Uwekezaji Katika Bara Hilo

Author
By Author
Share
4 Min Read

Na Waandishi Wetu

BAADA ya Rais wa Marekani Donald Trump kuingia madarakani, alifunga Shirika la Maendeleo la Marekani (MCC), April 23, 2025.

Theluthi mbili ya misaada ya Marekani ilikuwa ikitolewa kwa nchi za Afrika, kufadhili barabara, umeme na umwagiliaji. Hivyo kujiondoa kwake kunaacha miradi ambayo haijakamilika na kudhoofisha uchumi wa nchi hizo.

Aprili 24 mwaka huu, 2025 Shirika la Habari la France (AFP), liliripoti kwamba utawala wa Rais Trump uliamuru shirika hilo, Aprili 23 ambalo lilianzishwa mwaka 2004 kwa kuungwa mkono na Chama cha Democratic na Chama cha Republican.

Shirika hilo limefanya uwekezaji mkubwa katika miradi ya miundombinu Barani Afrika, na katika nchi nyingine zinazoendelea.

Mtaji wake wa uwekezaji katika Bara la Afrika ni takribani dola bilioni 10, huku miradi mingi ikiwa mbioni kujengwa.

Rais Donald Trump alitia saini agizo la utendaji katika ofisi ya Ikulu ya White House, Jumatano, Aprili 23, 2025

Mnamo Aprili 23 mwaka huu, watendaji wa shirika hilo walitangaza katika mkutano wa wafanyakazi kwamba shirika hilo linafungwa kwa utaratibu, na miradi yote itasimamishwa.

Pia taarifa za ndani zilionyesha kwamba Idara ya Ufanisi ya Serikali ya Marekani inayoongozwa na Elon Musk, ililitaka shirika hilo kupunguza idadi ya wafanyakazi kwa kiasi kikubwa.

Hivyo Kama hakuna mshirika mwingine kuchukua nafasi yake, miradi inayoendelea kama mradi wa uboreshaji wa mtandao wa usafiri wa Niger, mradi wa ujenzi wa mfumo wa kusambaza umeme wa Nepal na mradi wa umwagiliaji wa kilimo wa Msumbiji inakabiliwa na hatari ya kusitishwa.

Rais Trump anapinga kutoa misaada ya kimaendeleo, kwa sababu anaamini hainufaishi Marekani moja kwa moja.

Awali Trump alikuwa amefunga Shirika la Maendeleo ya Kimataifa la Marekani (USAID).

Kufungwa kwa Shirika hilo la MCC kumefichua zaidi fikra zake za ‘biashara kwanza’, kwani wadadisi wa mambo wanaona kama anaangalia faida zaidi.

Hivyo anaona kwamba utoaji wa misaada ni upotezaji wa rasilimali.

Uamuzi huo umesababisha madhara makubwa pia usitishwaji wa miradi ya maendeleo katika nchi nyingi zinazoendelea.

Katika kipindi muhimu ambacho utaratibu wa kimataifa unarekebishwa upya, Marekani ingeweza kuimarisha uvutano wake wa mfumo wa kisiasa kwa kupitia misaada ya kimataifa.

Bila shaka, uamuzi wa Rais Trump ni usaliti wa ushirikiano wa kimataifa na kanuni za kimataifa, ambao unaweza kuchafua vibaya sifa za Magharibi katika nchi zinazoendelea.

Baadhi ya wachambuzi wa mambo wamesema kuwa Rais Trump “anafidia nakisi ya bajeti ya Marekani kwa kuharibu utaratibu wa kimataifa”.

Ikilinganishwa na Marekani, China siku zote imekuwa ikitekeleza kikamilifu ujenzi wa Jumuiya ya Ngazi ya Juu ya China – Afrika yenye Mustakabali wa Pamoja. Kupitia Mpango wa ‘Ukanda Mmoja, Njia Moja’ (BRI) na ushirikiano wa ujenzi wa miundombinu na mengineyo.

Hivyo China inaendelea kusukuma mbele maendeleo ya nchi za Afrika.

Utekelezaji wa miradi kama Reli ya Kisasa ya Mombasa-Nairobi (SGR) na Daraja la J.P. Magufuli nchini Tanzania umedhihirisha azma thabiti ya China na Afrika ya kufanya kazi pamoja kwa ajili ya maendeleo na kunufaishana,

Pia umethibitisha kwamba ushirikiano kati ya China na Afrika umekuwa mfano bora kwa ushirikiano wa kimaendeleo duniani.

Mwandishi Ning Yi, mwalimu wa Kiswahili kutoka Chuo Kikuu cha Taaluma za Kimataifa cha Shanghai (SISU).

Barua pepe:02706@shisu.edu.cn

 

Mwandishi Ye Tianfa, mwalimu wa Kiswahili kutoka Chuo Kikuu cha Lugha za Kigeni cha Tianjin (TFSU)

Barua pepe: tianfa202123@163.com

JibuSambaza

Weka ji

 

You Might Also Like

Biteko Atoa Somo Uzalishaji Matumizi ya NIishati Afrika

CCCC Yakutana na Wanahabari, Yapanga Mikakati Mipya 2025

October 2, 2024

Vyama Vya Wafanyakazi Vihimize Waajiri Kutoa Taarifa WCF, Zinazohusu Wafanyakazi Wanaopata Ajali, Ugonjwa Kazini

Wastaafu Epukeni Matapeli Kwenye Mafao-PSSSF

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Askofu Akemea Midoli Kuvishwa Nguo Za Ndani
Next Article Waajiri Wasilisheni Michango Kwa Wakati
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Trump Kusitisha Sheria Za AGOA, Afrika Yapata Hasara
Habari May 10, 2025
Waajiri Wasilisheni Michango Kwa Wakati
Habari May 10, 2025
Askofu Akemea Midoli Kuvishwa Nguo Za Ndani
Habari May 9, 2025
Wananchi Wahimizwe Ulipaji Kodi Kimtandao – Nyongo
Habari May 8, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?