MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: China, Tanzania Zaendeleza Uhusiano Kupitia Tamasha La Kitamaduni
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > China, Tanzania Zaendeleza Uhusiano Kupitia Tamasha La Kitamaduni
Habari

China, Tanzania Zaendeleza Uhusiano Kupitia Tamasha La Kitamaduni

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read

Na Lucy Ngowi

DAR ES SALAAM: KAMPUNI ya Ujenzi wa Mawasiliano ya China (CCCC), Tawi la Tanzania imeungana na watanzania kusheherekea Tamasha la Kati ya Mwezi, la Jadi lenye historia mkoani Dar es Salaam.

Meneja Msaidizi wa CCCC Li Hong Yin amesema hayo katika sherehe hizo zilizoshirikisha raia wa kichina, viongozi wa serikali, wananchi na watoto zilizoadhimishwa katika ofisi zao zilizopo eneo la Kawe Dar es Salaam.

Habari Picha 9761

Amesema lengo la tamasha hilo ni kukuza uhusiano wa kitamaduni, kusherehekea mshikamano na kuendeleza ushirikiano wa maendeleo.

“Tamasha hili linaashiria mshikamano wa familia, matumaini na baraka.Tamasha hili si tu ni kusherehekea mila za Kichina, bali ni nafasi ya kuimarisha urafiki wetu na Watanzania,” amesema.

Katika kusherehekea, washiriki walitengeneza keki za mwezi na kufurahia maonesho ya taa za jadi mambo ambayo ni sehemu muhimu ya tamasha hilo.

Habari Picha 9764

Pia hafla hiyo iliambatana na mazungumzo kuhusu mchango wa China katika miradi ya miundombinu nchini Tanzania.

Amesema ujenzi wa barabara na madaraja nchini unaofanywa na kampuni hiyo unaimarisha uhusiano kati ya China na Tanzania, si kwa maendeleo pekee bali pia kwa kujenga daraja la urafiki wa kudumu.

Naye Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Mzimuni Kawe, Raia Nassoro ameshukuru kampuni hiyo ambayo mara zote imekuwa ikishirikiana na serikali pindi inapohitajika kufanya hivyo.

Habari Picha 9762

“Nimefurahi kushiriki kwenye sherehe hii ambayo inaongeza upendo na urafiki baina ya nchi hizi mbili,” amesema.

Vile vile Mwalimu Mkuu Msaidizi wa Shule ya Msingi Kawe, Asteria Chuluma amefurahi baadhi ya watoto wa shule hiyo kushiriki katika sherehe hiyo ambayo imewawezesha kucheza michezo mbali mbali, kupewa zawadi na kushiriki chakula cha pamoja.

Habari Picha 9763

“Katika sherehe hizi tunajifunza upendo, ushirikiano na umoja. Mnapokuwa na shughuli kama hii wanafunzi wanakuza vipaji vyao kupitia michezo na taaluma,” amesema.

 

You Might Also Like

Wanufaika wa SDF Waeleza Mafaniko Waliyoyapata

WCF yapongezwa kwa Ithibati ya ISO, utoaji wa huduma kwa viwango vya kimataifa

FAJ Yataka Wahamiaji Wa Kazi Wa Afrka, Wanaokwenda Maeneo Mengine Walindwe

Vitongoji 1997  Vimepatiwa Huduma Ya Umeme, Kilimanjaro  

Tumeridhika na kazi za TTCL – Mwanaisha

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article CHAUMMA kuanzisha mjadala wa elimu ndani ya siku 100
Next Article Mgombea Urais CHAUMMA Ahaidi Soko La Kisasa Feri
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

ARTICLE 19,  JOWUTA KUSHIRIKIANA KUIMARISHA HAKI ZA WANAHABARI
Habari October 18, 2025
Profesa Ndunguru Aongoza Kikao Cha Mawaziri Wa DLCO- EA Akimwakilisha Bashe
Habari October 17, 2025
Mgombea NCCR-Mageuzi Awaasa Watanzania Wasikubali Propaganda
Habari October 17, 2025
Profesa Nombo: Ushirikiano wa VETA, Sekta Binafsi Waimarisha Mafunzo ya Ufundi Stadi
Habari October 17, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?