MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: China Inaongoza Sekta ya Miundombinu na Ujenzi Tanzania
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > China Inaongoza Sekta ya Miundombinu na Ujenzi Tanzania
Habari

China Inaongoza Sekta ya Miundombinu na Ujenzi Tanzania

Author
By Author
Share
3 Min Read

Na Lucy Ngowi

DAR ES SALAAM: TAWI la Tanzania la Kampuni ya Ujenzi na Mawasiliano ya China (CCCC), limetoa ripoti ya utafiti ya Ulinganisho kati ya viwango vya China na Ulaya katika usanifu wa ujenzi wa miundo ya chuma hapa nchini.

Katika utafiti huo, umebaini kuwa China inaongoza katika sekta ya miundombinu na ujenzi hapa nchini, huku Uingereza ikiongoza katika eneo la usanifu,upimaji na utekelezaji wa vifaa vya ujenzi, mifumo na michakato.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na CCCC leo Disemba 31, 2024 inaonyesha kuwa, ripoti hiyo ya Maendeleo Endelevu ni ya kwanza kutolewa na kampuni hiyo tokea ilipoingia katika soko la Tanzania.

“Ripoti ya Utafiti inaangazia zaidi uchunguzi mkuu wa tawi katika uwanja wa uvumbuzi wa kiteknolojia na ushirikiano wa kimataifa,” imesema.

Taarifa imesema, ulinganisho wa kina wa viwango hivyo viwili ni muhimu ili kuelewa mfanano na tofauti zao na maeneo yanayowezekana ya uratibu na ushirikiano.

Taarifa imeeleza kuwa tawi hilo la CCCC hapa nchini, pamoja na watafiti kutoka Taasisi ya Teknolojia Dar es Salaam (DIT), walifanya utafiti wa kina juu ya tofauti kati ya viwango vya Uchina na viwango vya Uingereza katika vipimo vya miundo, mifumo ya udhibiti, kanuni za muundo na ujenzi kupitia Mradi wa Usafiri wa Mwendo Kasi (BRT), Dar es Salaam.

“Hitimisho la utafiti linaonyesha kuwa muundo ulioundwa kwa mujibu wa miongozo ya kiwango cha Kichina  ina uwezo wa kutosha wa kuhimili mizigo inayotumika,” imesema taarifa hiyo.

Lengo la utafiti huo ni kuonyesha uzoefu muhimu katika kutekeleza miradi ya baadaye ya kampuni hiyo ya kichina tawi la Tanzania.

“Tawi litachunguza zaidi njia ya ujumuishaji wa viwango vya China na Uingereza na kuimarisha ushirikiano katika nyanja ya viwango vya sekta ya ujenzi Tanzania.

“Ushirikiano huu hautaboresha tu kiwango cha kiufundi na uendelevu wa mradi, lakini pia kutoa uzoefu zaidi wa vitendo na mawazo ya ubunifu kwa ushirikiano wa kimataifa wa uhandisi chini ya mfumo wa mpango katika kusaidia ujenzi wa miundombinu ya kimataifa kusonga hadi juu ya viwango,”.

Taarifa imesema CCCC tawi la Tanzania itaendelea kutekeleza kanuni zinazotakiwa za ujenzi, kuimarisha ujenzi, kujitangaza kimataifa kwa viwango vya nchi yao kupitia uvumbuzi wa kiteknolojia pamoja na kkubadilishana uzoefu.

Katika hatua nyingine taarifa hiyo imeeleza kampuni hiyo itatekeleza majukumu yake ya kijamii kwa kuzingatia maisha na ustawi wa watu, ili kuleta manufaa kwa Tanzania.

You Might Also Like

Matokeo Ya Usaili TRA Kutangazwa April 25,2025

Trump Ashinda Uchaguzi Marekani

TTCL Yaweka Punguzo Kubwa Kwa Vifaa Vya Mobile Kwenye Sabasaba

TARURA Yatoa Elimu Nane Nane

Ushiriki Wa Wanawake, Wasichana Katika Sayansi Ni Mdogo

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article CCCC Yakutana na Wanahabari, Yapanga Mikakati Mipya 2025
Next Article Matukio ya Wafanyakazi Yaliyojiri kuanzia Januari 2024, Hadi Leo Disemba 31, 2024
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Tume ya Kurekebisha Sheria Yaelimisha Umma Kuhusu Haki za Wanyama
Habari August 6, 2025
Bundi Wasaidia Kupambana na Panya: Teknolojia Asilia Inayobadili Maisha ya Wakulima
Habari August 6, 2025
Ofisa wa TARI Kuwapo Kila Kituo cha Umwagiliaji – Naibu Katibu Mkuu
Habari August 6, 2025
Mbinu Mpya za Kilimo kwa Vijana Zapata Umaarufu Nanenane Banda La VETA
Habari August 6, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?