MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Chalamila: Ujenzi Daraja La Jangwani Waanza
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Chalamila: Ujenzi Daraja La Jangwani Waanza
Habari

Chalamila: Ujenzi Daraja La Jangwani Waanza

Author
By Author
Share
2 Min Read
– Dar es Salaam Ni Salama Kuelekea Uchaguzi Mkuu
Na Lucy Ngowi
DAR ES SALAAM,: MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amesema ujenzi wa daraja la Jangwani umeanza.
Chalamila amesema hayo alipozungumza na Waandishi wa Habari mkoani Dar es Salaam leo Aprili 18, 2025.
Amesema ujenzi huo umeanza kwa sababu Mkandarasi ameanza ujenzi wa karakana ya kuhifadhia vifaa.
” Katika kuboresha miundombinu Serikali mkoani Dar es Salaam imeanza ujenzi wa daraja la Jangwani, wananchi msiwe na shaka juu ya ujenzi huo ambao unakwenda kuwa suluhisho la mafuriko eneo hilo,” amesema.
Katika kikao hicho na wana Habari pia amezungumzia usalama wa Mkoa, jumbe zinazozagaa juu ya mafuriko na hatua zinazochukuliwa na Serikali, Kasi ya ulipaji kodi, maboresho ya miundombinu ya barabara pamoja na nafasi ya mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025.
Amezungumzia pia mpango wa ujenzi wa barabara katika Mkoa huo kupitia Mradi wa DMDP ambapo amesema wakandarasi wengi wameshaingia kazini.
Pia amewahakikishia wananchi
 barabara ambazo bado ujenzi haujaanza ndani ya muda mfupi kazi itaanza,
Vile vile amesisitiza juu ya mpango wa serikali kuimarisha usafiri wa mwendokasi kupitia wawekezaji binafsi.
Akizungumzia Uchaguzi Mkuu unaotarajia kufanyika mwaka huu, amesema licha ya tofauti za itikadi za kisiasa zilizopo, Mkoa utaendelea kuwa salama kipindi cha uchaguzi na baada ya uchaguzi.
Kuhusu Mpango wa Biashara saa 24, amesema uwepo wa bandari, uwanja wa ndege wa kimataifa,kituo cha Mabasi cha Magufuli, umeme na soko la kimataifa la Kariakoo ni nyenzo muhimu kufikia lengo la biashara saa 24
Chalamila amewatakia Kheri ya Pasaka wakristo wote na wakazi wa Dar es Salaam kwa ujumla kusherekea kwa Amani na Utulivu

You Might Also Like

Rais Samia afungua kikao kazi cha watendaji serikalini

TRAWU yapigania mkataba hali bora za kazi miaka 11 sasa

Tunaunga mkono jitihada za Rais Samia katika Utalii

Wafanyakazi wa Majumbani Wajengewa Uwezo 

JKCI Imeona Wagonjwa Zaidi ya Laki Saba Kwa Miaka Minne

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Chalamila Akabidhi milioni 100, saruji Kukamilisha Zahanati
Next Article UDSM Yaipaisha Lugha Ya Kichina kwa Kuanzisha Digrii Ya Awali Ya Kichina, Kiingereza
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

NSSF Yaendelea Kutoa Elimu Ya Hifadhi Ya Jamii ‘ Karibu Tukuhudumie’
Habari June 21, 2025
Wananchi Watakiwa Kutowachagua Watoa Rushwa
Habari June 19, 2025
Kihenzile: Mifumo Ijengwe Kuhakikisha Huduma Zinapatikana Kwa Haraka, Salama, Zenye tija
Habari June 19, 2025
MOI Yawasogelea Dodoma, Mikoa Jirani
Habari June 19, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?