MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: CCM yavunja rekodi – Makala
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > CCM yavunja rekodi – Makala
Habari

CCM yavunja rekodi – Makala

Author
By Author
Share
1 Min Read
Na Lucy Ngowi

DAR ES SALAAM: CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimesema wagombea takribani 500,000 walijitokeza katika mchakato wa kura za maoni katika nafasi mbalimbali nchi nzima kwenye uchaguzi wa Serikali Za Mitaa unaotarajiwa kufanyika Novemba 27, mwaka huu.

Aidha wana CCM waliojitokeza kujiandikisha kwa nchi nzima ni zaidi ya milioni 10, hali inayodhihirisha kuwa chama hicho kinaongoza ikilinganishwa na vyama vingine.

Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi Taifa (NEC), Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Amos Makalla amesema hayo leo Mkoani Dar es Salaam, huku akiwapangeza wana CCM kwa ushiriki huo.

Amesema Chama kimefurahishwa na hamasa iliyokuwepo kwa wanachma wake kwani imevunja rekodi kwa chaguzi zote zilizofanyika.

Amesema kwa hamasa hiyo CCM imethibitisha ndio chama kikubwa Afrika na Tanzania.

 

 

You Might Also Like

Matwebe Aipongeza Serikali Kushirikisha JUMIKITA  Kwenye Shughuli Za Kitaifa

Profesa Nombo Azindua Miongozo Ya Usimamizi Ya Utafiti, Ubunifu COSTECH

Jeshi la Uhifadhi watakiwa kuzingatia mafunzo – Wakulyamba

Wakulima wafunzwa kuhusu mlipuko wa panya TPHPA

Tanzania yqpata dola bilioni 2.3 kwa kuuza matunda, kunde nje

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Serikali Inaendelea Kutekeleza Mradi wa Kupeleka Umeme Grid Ya Mtwara Na Lindi- Kapinga
Next Article Makala: Hakuna Kupita Bila Kupingwa
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

NSSF Yaendelea Kutoa Elimu Ya Hifadhi Ya Jamii ‘ Karibu Tukuhudumie’
Habari June 21, 2025
Wananchi Watakiwa Kutowachagua Watoa Rushwa
Habari June 19, 2025
Kihenzile: Mifumo Ijengwe Kuhakikisha Huduma Zinapatikana Kwa Haraka, Salama, Zenye tija
Habari June 19, 2025
MOI Yawasogelea Dodoma, Mikoa Jirani
Habari June 19, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?