MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: BOT Yatoa Elimu ya Uwekezaji, Fedha Kwa Wananchi Maonyesho ya Madini Geita
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > BOT Yatoa Elimu ya Uwekezaji, Fedha Kwa Wananchi Maonyesho ya Madini Geita
Habari

BOT Yatoa Elimu ya Uwekezaji, Fedha Kwa Wananchi Maonyesho ya Madini Geita

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read
Na Lucy Ngowi
GEITA: KATIBU wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi, Zena Ahmed Said, amesema kuwa elimu juu ya uwekezaji na masuala mbalimbali ya kifedha inaendelea kutolewa kwa wananchi kupitia banda la Benki Kuu ya Tanzania (BoT) katika maonesho ya nane ya kimataifa ya sekta ya madini yanayoendelea mkoani Geita.
Akizungumza wakati wa ziara yake kwenye banda hilo, Zena amesema elimu hiyo ni muhimu hasa kwa wananchi ambao wanamiliki fedha lakini hawajui namna ya kuzitumia kwa tija.
“Kuna watu wana fedha nyingi lakini hawajui jinsi ya kuwekeza. Hapa wanapewa maarifa ya kuwekeza kwenye dhamana za Serikali, ambazo ni salama na zenye faida,” amesema Zena.
Habari Picha 9676
Katika banda la BoT, wananchi wamekuwa wakifundishwa namna ya kutumia fedha zao kwa ufanisi, ikiwa ni pamoja na uwekezaji kwenye dhamana za Serikali na njia za kujiepusha na utakatishaji wa fedha, jambo alilosema lina athari kubwa kwa uchumi wa taifa.
Amesema elimu hii ni ya msingi kwa maendeleo ya mtu binafsi na taifa kwa ujumla, hasa katika kipindi hiki ambacho Serikali inahamasisha ushiriki wa wananchi katika shughuli rasmi za kiuchumi.
Maonesho hayo, yanayofanyika katika Mkoa wa Geita, yamewakutanisha wadau mbalimbali wakiwemo wachimbaji, wajasiriamali kutoka Tanzania Bara na Visiwani, pamoja na washiriki kutoka nje ya nchi.
Habari Picha 9677
Zena amesema ameridhishwa na maandalizi na ushirikiano uliopo baina ya sekta binafsi na taasisi za umma, akisisitiza kuwa maonesho hayo yanatoa fursa ya kipekee kwa wananchi kupanua uelewa wao kuhusu masuala ya fedha, uchumi na uwekezaji.

You Might Also Like

UDSM Yamtunuku Rais AfDB Shahada Ya Heshima Ya Sayansi

BMT Yaleta Kicheko Kwenye Michezo

Kameta awaasa watanzania kutonunuliwa  kuelekea uchaguzi wa Serikali za Mtaa, Mkuu

FCC Yatoa Elimu Ya Ushindani Wa Kibiashara Katika Maonesho Ya  Biashara

Utafiti Wa Nguvu Kazi, Mapato Ya Kaya Kutoa Taswira Mpya Ya Maendeleo

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Mwenyekiti TCCIA Geita Gabriel Ahamasisha Watanzania Kutumia Bidhaa Za Ndani
Next Article TFS Yashiriki Maonesho ya Nane ya Madini Geita
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Majaliwa Aipongeza TPHPA kwa Kuhakikisha Usalama wa Chakula Nchini
Habari October 16, 2025
Mwalim: Lindi, Mtwara Tajiri kwa  Rasilimali, Maskini kwa Uongozi
Habari October 16, 2025
Dkt. Mpango: Tumuige Nyerere kwa Kulinda Amani, Uhuru na Maadili ya Taifa
Habari October 15, 2025
Mwalim: Niko Tayari Kushirikiana na Majaliwa Nikipewa Ridhaa ya Urais
Habari October 15, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?