MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: AUWSA Kutibu Maji Taka Yatumike Kwenye Kilimo
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > AUWSA Kutibu Maji Taka Yatumike Kwenye Kilimo
Habari

AUWSA Kutibu Maji Taka Yatumike Kwenye Kilimo

Author
By Author
Share
1 Min Read
Na Danson Kaijage
DODOMA: WAKAZI wa Mkoa wa Arusha wanaohudumiwa na Mamlaka ya Maji safi na usafi wa mazingira Arusha(AUWSA) watanufaika na utumiaji wa maji taka yaliyotibiwa kwa ajili ya matumizi ya kilimo cha umwagiliaji.
Hayo yameelezwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Jiji la Arusha (AUWSA), Justine Rujomba alipokuwa akizungumza  na waandishi wa habari kuhusu mafanikio na mwelekeo wa ofisi hiyo katika kipindi cha miaka minne ya Serikali ya Awamu ya Sita.
Amesema katika Jiji la Arusha ni kati ya majiji yenye mabwawa makubwa 18 ya kuhifadhi maji taka na maji hayo kugeuzwa kuwa fursa kwa kutibiwa na kubadilishiwa matumizi ya kutumiwa katika kilimo.
Akizungumzia mafanikio Mkurugenzi huyo amesema kuwa kwa sasa Jiji la Arusha halina shida ya maji kwani kila kiunga cha Jiji hilo kinapata maji na zaidi ya maji yanapatikana hata mipakani.
Pia amesema kumekwepo na ongezeko la wateja kutoka 6,262 hadi  10,892 ambao wanapata maji safi na salama na hakuna tatizo la maji tena Jiji laArusha.
Katika hatua nyingine Mamlaka imefanikiwa kufunga dira za maji 360 za  lipa kabla ya kutumia ambazo zitasaidia kupunguza malimbikizo ya madeni na malalamiko ya ubambikizwaji wa bili za maji.

You Might Also Like

Askari wa Jeshi La Uhifadhi Kusini Wakumbushwa Wajibu

Magonjwa ya misuli yaongezeka mahala pa kazi-OSHA

Nyamhokya: Mei Mosi Ni Singida Mwaka Huu 2025

Wananchi Wachukue Hatua Iwapo Hawajaridhika Na Huduma-TCF

Miradi ya maedeleo na Huduma za afya isimamiwe kwa ukaribu

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Japan Yatoa Bilioni 27 Kuboresha Sekta Ya Afya
Next Article Mkenda: Tunahitaji Ushirikiano Baina Ya Viwanda Na Wazalishaji
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

NSSF Yaendelea Kutoa Elimu Ya Hifadhi Ya Jamii ‘ Karibu Tukuhudumie’
Habari June 21, 2025
Wananchi Watakiwa Kutowachagua Watoa Rushwa
Habari June 19, 2025
Kihenzile: Mifumo Ijengwe Kuhakikisha Huduma Zinapatikana Kwa Haraka, Salama, Zenye tija
Habari June 19, 2025
MOI Yawasogelea Dodoma, Mikoa Jirani
Habari June 19, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?