MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Sheria  300 Zimetafsiriwa Kwa Lugha Ya Kiswahili
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Sheria  300 Zimetafsiriwa Kwa Lugha Ya Kiswahili
Habari

Sheria  300 Zimetafsiriwa Kwa Lugha Ya Kiswahili

Author
By Author
Share
2 Min Read
Na Lucy Lyatuu
WAZIRI wa Katiba na Sheria Dkt Damas Ndumbaro amesema kuwa Ofisi ya Mwandishi Mkuu wa Sheria (OCPD),hadi kufikia Juni 30, mwaka huu tayari imetafsiri sheria 300 kutoka kwenye lugha ya Kiingereza kwenda lugha ya Kiswahili kati ya Sheria 446 ili watanzania waweze kuzielewa.
Imesema kwa sasa   inafanya kazi nzuri ya kutafsiri Sheria kutoka katika lugha ya Kiingereza kwenda lugha ya Kiswahili.
Hayo ameyasema katika Maonesho ya 49 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam 2025, maarufu kama Saba Saba alipotembelea banda la Ofisi hiyo alisema serikali kupitia kwa mwaka imetenga bajeti ya fedha ili kuiwezesha OCPD iwe  kufasili sheria 146 zilizobaki.
Amesema  ofisi hiyo ni muhimu kwamba ikishindwa kutekeleza majukumu yake  hata mahakama itavurugikiwa iwapo itatumia sheria ambazo haziko sahihi.
“Ofisi hii ni muhimu inawaambia sheria sahihi ni hii ya mwaka huu na toleo hili la  urakibu la mwaka huu,” ameeleza Waziri Dk. Ndumbaro.
Amesema Ofisi ya Mwandishi Mkuu wa Sheria katika mchakato mzima wa utunzi na urekebu wa sheria  bila ofisi hiyo hakuna sheria ambayo inakwenda bungeni kutungwa.
Dk.Ndumbaro ameongeza kuwa bila ofisi hiyo hakuna sheria ambayo inafanyiwa marekebisho bungeni, hakuna sheria ndogo ambayo inatungwa wala  kufafanyiwa urekebu hivyo ofisi hii ni muhimu.
Ameongeza  kwa sasa ofisi hiyo inafanya kazi nzuri ya kutafsiri Sheria kutoka katika lugha ya Kiingereza kwenda lugha ya Kiswahili.
Waziri huyo amesema Ofisi hiyo ni muhimu katika mustakabali mzima wa kutunga na kuchakataka sheria za nchi.

You Might Also Like

Ridhiwan Kikwete atembelea kituo cha kulelea watoto

UDSM Yatafiti Ndege Nyuki ‘Drone’ Inayopunguza Uchafuzi Wa Hewa Ukaa

Wafanyakazi Wakumbushwa Kujitokeza. Kwa Wingi Kupiga Kura

UDOM Yatumia Akili Mnemba Kugundua Dawa

Ridhiwani Kikwete Azindua Miradi Ya Thamani Ya Bil. 1.7 Songwe

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article TEA Yaweka Mikakati Madhubuti Kukuza Mafunzo ya Amali Nchini
Next Article Manyara Kusambaza Mitungi 16,275 ya Gesi kwa Bei ya Ruzuku
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Kafulila: Ushirikiano wa Sekta Binafsi na Umma Kuboresha Huduma
Habari July 13, 2025
Teknolojia Mpya Ya Uchomeleaji Yaleta Mapinduzi VETA Dodoma
Habari July 12, 2025
Tume Yapongeza OCPD kwa Mabadiliko ya Sheria
Habari July 12, 2025
Johari Ataka Ufasili wa Sheria za Uchaguzi Ukamilike
Habari July 12, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?