MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: TMDA Kudhibiti Bidhaa Za Tumbaku Ili Wananchi Wasiendelee Kupata Madhara
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > TMDA Kudhibiti Bidhaa Za Tumbaku Ili Wananchi Wasiendelee Kupata Madhara
Habari

TMDA Kudhibiti Bidhaa Za Tumbaku Ili Wananchi Wasiendelee Kupata Madhara

Author
By Author
Share
2 Min Read
Na Lucy Lyatuu
MAMLAKA ya Dawa Na Vifaa Tiba (TMDA) imesema kwa sasa inasimamia  masuala yote yanayohusu bidhaa za tumbaku Ili kuhakikisha wananchi wasiendelee Kupata madhara wanapotumia bidhaa hizo.
Mkurugenzi Mkuu Wa TMDA  Dk Adam Fimbo amesema hayo katika Banda la TMDA lililoko viwanja vya maonesho ya 49 ya Biashara Ya Kimaraifa maarufu kama sabasaba yanayoendelea Dar es Salaam.
Amesema ni jukumu la Mamlaka hiyo inafuatilia usalama Wa dawa kwenye masoko kwa maana dawa yoyote anayotumia mwanadamu haipaswi kuwa na madhara.
” TMDA jukumu lao ni kuhakikisha dawa hiyo inafanya kazi iliyokusudiwa kwa maana ya kutibu lakini sio kuleta madhara kwa binadamu,” amesema.
Amesema hivyo TMDA inafanya kazi kubwa ya kuweza kubaini madhara yoyote yanayoweza kujitokeza kwa watu.
Ameongeza kuwa pia Mamlaka inapima bidhaa za dawa kwenye maabara zilizopo nchini ambapo zimethibitishwa na Shirila La Afya Duniani (WHO) Ili Kufanya kazi ya kupima ubora Wa dawa kwenye Soko na kuruhusu zile tu ambazo zimekidhi viwango vilivyowekwa.
Amesema wako katika maonesho hayo ya sabasaba Ili kuelimisha watanzania kuhusu sekta ya Dawa Ili kulinda afya ya jamii.
“Majukumu Yetu ninkusajili dawa zinazoingia nchini na hakuna dawa inayoweza kuingia bila kusajiliwa na Mamlaka,” amesema na kuongeza kuwa usajili unahusisha Kufanya tathmini ya ubora,usalama na ufanisi ,” amesema.
Aidha amesema Mamlaka hiyo hufanya ukaguzi kwa dawa zilizosajiliwa ikiwa ni kwenye masoko,mipaka ya nchi, maduka ya Dawa,hospitalini na Kila eneo Ili kuhakikisha bidhaa inayofika kwa watanzania ni salama,bora na fanisi.

You Might Also Like

Samia Azindua Shule ya Msingi ya Mchepuko wa Kiingereza Songea

Simbachawene Asema Serikali Yajivunia Mafanikio TASAF

Dkt. Biteko ashiriki kilele cha miaka 60 JWTZ

Mdemu Azindua Utafiti Uliofanywa na FES Kwa Kushirikiana Na COTWU – T

Viongozi Bora Hujenga Mazingira Wezeshi Kwa Wahadhiri – Profesa Nombo

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Rais Dk Mwinyi Kukata Keki Sabasaba
Next Article TARI Yatikisa Sabasaba Na Mti Wa ‘Allspice’
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

PSPTB Yatangaza Usajili wa Mitihani ya 31 ya Kitaaluma ya Ununuzi na Ugavi
Habari July 4, 2025
TARI Yatikisa Sabasaba Na Mti Wa ‘Allspice’
Habari July 4, 2025
Rais Dk Mwinyi Kukata Keki Sabasaba
Habari July 4, 2025
TAWA Ni Mahali Sahihi Pa Uwekezaji  – Maganja
Habari July 4, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?