MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Utafiti Wa Roketi UDOM Uko Mbioni Kukamilika
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Utafiti Wa Roketi UDOM Uko Mbioni Kukamilika
Habari

Utafiti Wa Roketi UDOM Uko Mbioni Kukamilika

Author
By Author
Share
2 Min Read

Na Lucy Ngowi

DAR ES SALAAM: MHADHIRI Mwandamizi kutoka Chuo Kikuu cha Dodoma ( UDOM), Dkt. Benatus Mvile amesema roketi wanayoifanyia utafiti chuoni hapo sasa imekuwa na uwezo wa kuruka kwenda kwenye njia wanayoitarajia.

Dkt. Mvile amesema hayo alipozungumza na Mfanyakazi Tanzania kuhusu hatua iliyofikia roketi hiyo ambayo chuo cha UDOM kimeifanyia utafiti kwa lengo la kutoa majibu chanya kwa jamii inayoizunguka.

Amesema, ” Roketi ya mwaka jana tuliyokuja nayo kwenye maonesho ya sabasaba ilikosa uhimilivu, ilikuwa haina uwezo wa kuruka kwenda kwenye njia tunayoitarajia, lakini sasa imekuwa himilivu,”.

Amesema chuo hicho kimekusudia kufanya mwendelezo wa mradi huo kufikia hatma yake na kuweza kuirusha.

“Moja ya changamoto ambayo tulipata mwaka jana ni kuiwezesha roketi hii kuwa himilivu,” amesema.

Amesema kwa mwaka huu, wameweza kuifanyia roketi hiyo maboresho ya mabawa ya nyuma na muonekano wake wa mbele.

Akielezea umuhimu wa roketi kwa jamii, amesema katika kipindi hiki kumekuwa na mabadiliko makubwa ya hali ya hewa, na kusababisha uzalishaji wa chakula kupungua kwa kiasi kikubwa huku idadi ya watu ikiongezeka.

“Sasa mabadiliko ya hali ya hewa ambayo yanasababisha mvua isinyeshe kwa wakati, au kwa kiwango kinachostahili ni lazima tutafute njia mbadala ya kuwezesha mvua kunyesha kwa kiwango kinachotakiwa.

“Moja ya teknolojia inayotumika ni roketi ambazo zinasaidia kwenye masuala urekeboshaji wa hali ya hewa ili kuwezesha mvua ziweze kunyesha kwa kiwango kinachostahili,” amesema.

Amesema kwa namna hiyo kama chuo wanaenda kuigusa jamii kubwa na ya kawaida, kwa sababu wazalishaji wakubwa ni wakulima wa kawaida ambao hawana uwezo wa teknolojia za kisasa kama za umwagiliaji na kuchimba visima.

You Might Also Like

Uwepo mwongozo kupima wagonjwa zaidi

Ridhiwani Afanya Mazungumzo Na Balozi Wa China Nchini, Mingjian

VETA Mara Wabuni Mtambo Wa Kuchakata Maji Kwa Samaki Wanaofugwa

Kamati Ya Bunge Yapongeza Usimikaji Mfumo Wa Kidijitali CMA

Wanafunzi Kutoka Veta Kushiriki Mafunzo Japan

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Utafiti UDOM Wawezesha Plastiki Kutengeneza Mafuta Mazito Ya Viwanda, Mkaa Na Tiles
Next Article UDOM Yatumia Akili Mnemba Kugundua Dawa
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Mchumi Ajitosa Kuwania Ubunge Manyoni
Habari July 1, 2025
Msomi Wa Afya, Fatuma Atia Nia Jimbo la Dodoma Mjini
Habari July 1, 2025
Dkt. Mashimba Achukua Fomu Ya Kuwania Nafasi Ya Ubunge
Habari July 1, 2025
TPHPA, MUCE Wasaini Hati Ya Makubaliano Maeneo Yanayogusa Sayansi
Habari July 1, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?