MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Abubakar Assenga Aomba Ridhaa Ya Wananchi Wa Kilombero Wamchague Tena
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Makala > Abubakar Assenga Aomba Ridhaa Ya Wananchi Wa Kilombero Wamchague Tena
Makala

Abubakar Assenga Aomba Ridhaa Ya Wananchi Wa Kilombero Wamchague Tena

Author
By Author
Share
3 Min Read
– Amalizie Pale Alipoishia 
Na Mwandishi Wetu
MBUNGE wa Jimbo la Kilombero mkoani Morogoro Abubakar Asenga(CCM)amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya kuchaguliwa tena kutetea kiti hicho akiahidi kushughulika na kero za wananchi kwa kiango kikubwa.
Akizungumza mjini Dodoma Juni 27, mwaka huu 2025, amesema ana dhamira ya dhati kushughulika na mambo mbalimbali katika Jimbo la Kilombero.
“Tunaomba dhamana mwaka 2026 mkituchagua  tukianza kazi Januari tutapita katika vijini 48 na mitaa 33 kujaribu kuchukua mambo mawili matatu ambayo tutayasukuma.
“Tunawaambia wananchi kwamba sisi sio malaika hatuwezi kufanya kila kitu kwa siku moja lakini tuna uhakika kwamba tunaweza kusukuma baadhi ya mambo muhimu kwa maendeleo ya wananchi wetu,” anaeleza mbunge huyo.
Anaeleza mambo yaliyoshughulikiwa akisema katika jimbo hilo mbunge yoyote alikuwa akiadhibiwa kukaa kwa miaka mitano kisha kutochaguliwa tena kutokana na changamoto ya barabara.
Jambo jingine ni kuhusu wakulima wa miwa akisema tayari wamejengewa kiwanda kipya cha sukari hivyo kuwaondolea adha waliyokuwa wakiipata.
“Serikali ya awamu ya sita chini ya rais Samia Suluhu Hassan ilitoa zaidi ya bilioni 700 ambazo zimefanikisha ujenzi wa kiwanda kipya cha sukari kipo na kinaendelea na rais ameweka jiwe la msingi.
“Asilimia 60 ya wananchi wa Jimbo hilo ni wakulima wa miwa hivyo miwa mingi ilikuwa ikibaki shambani, viwandani kwa sababu kiwanda kilikuwa hakina uwezo wa kuchukua miwa yote ya wakulima shambani
“Bababara zinazotenganisha na wilaya nyingine  mojawpao ni barabara ya Mlimba( ya kilometa 112) ya Ifakara hadi Mlimba ambayo imeshapata mkandarasi na nyingine ya Ulanga na Malinyi inayoanzia Kikwawila kupitia Mbasa, Lipangala, Lupiro hadi Malinyi ambayo tayari fedha na wakandarasi wameshapatikana.” anasema.
Jingine ni kujenga Sekondari kila Kata akisema wameshajenga  Sekondari 12 katika Kata ambazo hazikuwa na sekondari na zimeshaanza kufanya kazi pia madarasa zaidi ya 150 na shule  za msingi nane ambazo ni mpya pia wamejenga shule moja ya ufundi(shule za amali) katika Kata ya Kisawasawa ambayo imekamilika.
Pia wamepeleka umeme katika vijiji vyote na kujenga mradi mkubwa wa umeme unaogharimu kiasi cha Shs. Bilioni 225 ambao utazuia kukatika kwa umeme na rais Samia alishautembelea pamoja na Naibu waziri Mkuu ambaye pia ni Waziri wa Nishati. Dk. Dotto Biteko.
“Umeme ulikuwa ukikatika siku za nyuma lakini hivi sasa tatizo hilo halipo, tulikuwa pia na shida kubwa katika afya na sasa tumejenga Zahanati 12 vimekamilika na tumepata vifaa na madakari,” anasema Asenga.

You Might Also Like

BAADHI YA MATUKIO YA KISIASA YALIYORIPOTIWA KUANZIA JANUARI 2024 HADI DISEMBA 2024;

Kitabu cha Utamaduni na Maendeleo Nchini Tanzania, Chaimarisha Mawasiliano ya Kitamaduni Baina ya China, Tanzania

Kwelea Kwelea, Nzige, Viwavi Jeshi Kudhibitiwa Kwa Haraka

Vijana wa China Waisimulia Afrika Kupitia Video Fupi”

Sanaa, Utamaduni Yaimarisha Urafiki Wa China, Afrika

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Martha Mariki Achukua Fomu Kutetea Nafasi Yake Katavi
Next Article Wafanyakazi Wa Majumbani  700 Wapatiwa Mafunzo VETA
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Majaliwa Apongeza Jeshi La Magereza Kurasimisha Ujuzi Kwa Wafungwa
Habari August 27, 2025
Mapokezi Ya Katibu Mkuu CCM  Dkt Migiro CCM, Aahidi Ushirikiano
Habari August 27, 2025
Majaliwa Aagiza Kuimarishwa kwa Mafunzo ya Ufundi Stadi Nchini
Habari August 27, 2025
VETA Yaanzisha Kozi Mpya ya Teknolojia ya Mifumo ya Viwandani
Habari August 26, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?