MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Wananchi wahamasishwa kuandika historia mpya kupitia kura
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Wananchi wahamasishwa kuandika historia mpya kupitia kura
Habari

Wananchi wahamasishwa kuandika historia mpya kupitia kura

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
1 Min Read
Na Mwandishi Wetu
BARIADI VIJIJINI: MGOMBEA urais wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Salum Mwalim, amewataka wananchi wa Bariadi kujitokeza kwa wingi kupiga ‘kura ya ukombozi wa hasira’ ifikapo Oktoba 29, mwaka huu.
Akihutubia mkutano wa kampeni za lala salama, Mwalim amesema kura hiyo ndiyo suluhisho la changamoto zinazowakabili wananchi, ikiwemo matatizo ya huduma za afya, bei ya pamba na hali ngumu ya wafugaji.
Habari Picha 10197
“Acheni kukumbatia CCM. Nendeni mkapige kura ya ukombozi wa hasira kwa CHAUMMA ili msije kujutia maamuzi yenu,” amesema Mwalim.
Ameongeza kuwa wananchi wasipofanya maamuzi sahihi mwaka huu, atarejea mwakani kuuliza kama wamekomboa maisha yao au wameendelea kuteseka kwa kukibakiza madarakani chama kilichosababisha umaskini wao.
Mwalim pia amelaani vitendo vya uonevu vinavyowakumba wananchi katika maeneo yaliyopakana na hifadhi, pamoja na kukamatwa holela kwa vijana, akisisitiza kuwa mabadiliko hayo yanawezekana tu kupitia kura ya Oktoba 29, mwaka huu 2025.

You Might Also Like

Tutuba: Noti Mpya Kuanza Kutumika Februari Mosi mwaka huu

TARI Yaja Na Jawabu 88 Juu Ya Tindikali, Chumvi Kwenye Udongo

Takukuru Kinondoni Yapokea Malalamiko 46 Kuhusu Rushwa

Ridhiwan Atembelewa Na Watendaji NMB

Maziwa Kukuza Uchumi Wa Wafugaji

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Shibuda: WanaMaswa jitokezeni kupiga kura bila woga
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Shibuda: WanaMaswa jitokezeni kupiga kura bila woga
Habari October 25, 2025
Daktari: Saratani ya Matiti Inazuilika, Inatibika
Habari October 25, 2025
Kituo Cha Umahiri Cha Upandikizaji Figo, Mafunzo, Kujengwa Hospitali Ya Benjamin Mkapa
Habari October 24, 2025
Mwalim: Mchagueni Mwalimu Wangu Wa Siasa Shibuda
Habari October 24, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?