MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Wananchi wahamasishwa kuandika historia mpya kupitia kura
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Wananchi wahamasishwa kuandika historia mpya kupitia kura
Habari

Wananchi wahamasishwa kuandika historia mpya kupitia kura

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
1 Min Read
Na Mwandishi Wetu
BARIADI VIJIJINI: MGOMBEA urais wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Salum Mwalim, amewataka wananchi wa Bariadi kujitokeza kwa wingi kupiga ‘kura ya ukombozi wa hasira’ ifikapo Oktoba 29, mwaka huu.
Akihutubia mkutano wa kampeni za lala salama, Mwalim amesema kura hiyo ndiyo suluhisho la changamoto zinazowakabili wananchi, ikiwemo matatizo ya huduma za afya, bei ya pamba na hali ngumu ya wafugaji.
Habari Picha 10197
“Acheni kukumbatia CCM. Nendeni mkapige kura ya ukombozi wa hasira kwa CHAUMMA ili msije kujutia maamuzi yenu,” amesema Mwalim.
Ameongeza kuwa wananchi wasipofanya maamuzi sahihi mwaka huu, atarejea mwakani kuuliza kama wamekomboa maisha yao au wameendelea kuteseka kwa kukibakiza madarakani chama kilichosababisha umaskini wao.
Mwalim pia amelaani vitendo vya uonevu vinavyowakumba wananchi katika maeneo yaliyopakana na hifadhi, pamoja na kukamatwa holela kwa vijana, akisisitiza kuwa mabadiliko hayo yanawezekana tu kupitia kura ya Oktoba 29, mwaka huu 2025.

You Might Also Like

RAAWU yapokea migogoro 16, yaishughulikia

Serikali  Kuja Na Mradi  Wa Kuimarisha Upatikanaji Umeme Vitongojini- Kapinga 

Serikali Yajipanga Kuinua Maisha ya Vijana, Yaahidi Mabadiliko Kupitia Sera, Sheria

Tanzania Kushirikiana na Finland Uboreshaji Mbegu za Miti

TAKUKURU, Manispaa Ubungo Yawafikia Waendesha Bajaji, Bodaboda

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Shibuda: WanaMaswa jitokezeni kupiga kura bila woga
Next Article Elimu Ya Nishati Safi Ya Kupikia Yawafikia Maofisa Dawati Ngazi Ya Mikoa Na Halmashauri
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Mavunde: Makaa ya Mawe Ni Injini ya Maendeleo ya Viwanda
Habari March 30, 2026
Programu Mpya ya TPHPA Yalenga Usalama wa Mazao Sokoni
Habari March 30, 2026
CHAKUHAWATA Yaimarisha Ulinzi wa Haki za Walimu, Yafikia Wanachama 49,750
Habari March 29, 2026
Upungufu wa Wataalamu wa Ustawi wa Jamii Wachangia Changamoto Kwenye Huduma za Jamii
Habari March 28, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?