MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Wananchi Kutembea Mwendo Mrefu Kutokana Na Upungufu Wa Majengo
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Wananchi Kutembea Mwendo Mrefu Kutokana Na Upungufu Wa Majengo
Habari

Wananchi Kutembea Mwendo Mrefu Kutokana Na Upungufu Wa Majengo

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
1 Min Read
Na Lucy Ngowi
DAR ES SALAAM:  WANANCHI wamekuwa wakisafiri umbali mrefu kufuata huduma kutokana na upungufu wa majengo yanayokidhi kutoa huduma za kimahakama.
Jaji Mfawidhi Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, Salma Maghimbi amesema hayo alipokuwa akielezea changamoto katika mfumo wa utoaji wa haki ambazo zinaendelea kupatiwa ufumbuzi..
“Mfano halisi ni Mahakama za Mwanzo Buguruni, Ilala na Ukonga. Bado Tuna upungufu mkubwa majengo ikilinganishwa na mahitaji halisi.Muendelezo wa naboresho unaendelea kwa kujenga majengo mapya,” amesema.
Aidha baadhi ya majengo katika mahakama za mwanzo baadhi ya majengo yake ni duni.
Amesema kwamba pamoja na changamoto hizo, muendelezo wa maboresho na kujenga majengo mapya unaendelea.
,

You Might Also Like

Mchome: Ubunifu wa VETA Ni Mkubwa, Sasa Ni Wakati Wa Uzalishaji Kwa Wingi
Limeni mkonge unalipa – Maghali
Mwenyekiti wa CCM ambaye ni Rais Samia Suluhu Hassan, kuongoza Kamati Kuu Maalum kesho
Waziri Mkuu Majaliwa aitaka uchukuzi lusimamia kwa karibu TRC
Tigo yawafikia wakulima, wafugaji. Wavuvi nanenane Dodoma
Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article BRELA Yazindua Baraza La Wafanyakazi
Next Article Tanzania Kuwa Mwenyeji Wa Mkutano Wa Petroli Afrika
Leave a Comment Leave a Comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Advertise

  • Advertise with us
  • Newsletters
  • Deal
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account