MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Ridhiwani Awashika Mkono Wenye Mahitaji Maalum
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Ridhiwani Awashika Mkono Wenye Mahitaji Maalum
Habari

Ridhiwani Awashika Mkono Wenye Mahitaji Maalum

Author
By Author
Share
2 Min Read
Na Mwandishi Wetu
PWANI: WATOTO wenye mahitaji maalum wamepatiwa aina 25 ya vifaa ili viweze kuwasaidia.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu na Mbunge wa Jimbo la Chalinze, Ridhiwani Kikwete amekabidhi vifaa hivyo kwa watoto hao wenye mahitaji maalum.
Pia Ridhiwani ameishukuru serikali
Kwa kuendelea kutoa elimu kwa watoto wenye mahitaji maalum.
Katika hatua nyingine, Ridhiwani ameishukuru Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Chalinze kwa usimamizi mzuri wa fedha na kutoa elimu kwa wazazi ili kuona umuhimu wa kuwapeleka shule watoto hao.
Akitoa msaada huo ameahidi kuwa serikali itaendelea kupeleka fedha ili kukamilisha ujenzi wa mabweni.
Vile vile amesema kupitia Mfuko wa Jimbo, wametoa madawati 500,  wataendelea kuhakikisha wanasaidia ili kutatua changamoto zilizopo na kuweka mazingira mazuri kwa watoto ili waweze kusoma kama wengine.
Amewapongeza walimu wanaofundisha watoto hao .
Akiwasilisha taarifa kwa niaba ya Mkuu wa Idara ya Elimu msingi na Awali Miriam Kihiyo,  Ofisa Elimu maalumu wa Halmashauri ya Chalinze Divisheni ya Awali na msingi Elikana Lukuba amesema bado kuna changamoto mbalimbali, na kuishukuru halmashauri hiyo inavyojitahidi kutenga fedha,
Kwenye bajeti kupitia mapato ya ndani na kupunguza changamoto hizo kwa kushirikiana na Serikali pamoja na wadau wa Elimu.
Ameiomba Ofisi ya Waziri Mkuu kutoa mwongozo kwa walimu waliosomea elimu maalumu ambao wanafundisha shule zisizo na wanafunzi wenye mahitaji maalumu kuwaajiri kwenye Shule zenye uhitaji huo.
Naye Mwenyekiti wa kamati ya shule ya Msingi Chalinze kitengo cha elimu maalumu ameishukuru Serikali kwa kuwapatia vifaa hivyo na kwani vitakuwa msaada mkubwa kwa watoto hao.

You Might Also Like

Mbogamboga Na Vitunguu Vyaingiza Sh. Milioni 370 Kwa Miaka Minne

Rais Samia ashuhudia JOWUTA Ikiwa mwanachama wa  TUCTA 

Tutumie Mitandao Kwa Matumizi Yenye Manufaa – Kilimbe

TUCTA Yafuatilia Hotuba Ya Waziri Mkuu Bungeni

Maziwa Kukuza Uchumi Wa Wafugaji

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Bashungwa Asema Wafungwa Kupewa Mafunzo Ya Ufundi Stadi
Next Article Ridhiwani Awataka Wananchi Kuboresha Taarifa Zao Tayari Kwa Uchaguzi Mkuu
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Mtanda Akagua Maendeleo Ya Mradi YA Hoteli Ya Nyota Tano Ya NSSF
Habari May 27, 2025
UDSM  Kujenga Jengo La Kisasa La Bil 8.3
Habari May 27, 2025
Wanazuoni Kujadili   Dira  Itakayojenga  Uchumi Unaofikia   Dola Trilioni Moja
Habari May 26, 2025
Michezo Yapunguza Uhalifu Dodoma
Habari May 25, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?