MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Kinywaji Cha China Chavuka Mipaka Chatua Tanzania
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Makala > Kinywaji Cha China Chavuka Mipaka Chatua Tanzania
Makala

Kinywaji Cha China Chavuka Mipaka Chatua Tanzania

Author
By Author
Share
5 Min Read

Na Waandishi Wetu

SOYA ni jamii ya kunde ni zao lenye mafuta na sifa yake pekee ni kuwa na kiasi kikubwa cha protini.

Maziwa yatokanayo na soya yana asili yake nchini China ambapo zao hilo limetokea, baadaye zao hilo na vyakula vyake vilikwenda Japani, kisha kusambaa ulimwenguni kote.

Maziwa ya soya ni kinywaji cha kiasili cha Kichina chenye ladha ya kipekee na  kiasi kikubwa cha lishe, wengine wanaipendelea kwa sababu za kiafya.

Mradi wa kukuza maziwa ya soya nchini Tanzania unaitwa “Soya Ndogo, Lishe Bora”. Kwa kufuata utekelezaji wa mradi huo, kinywaji hicho cha “Kichina” kimevuka milima na mito na kufika kwenye Mkoa wa Morogoro nchini Tanzania, kikiwa kinywaji kipya kinachosaidia kujenga afya.

Hivyo kimechangia kukuza maendeleo na mambo ya kisasa katika kujenga Jumuiya ya China – Afrika yenye Mustakabali wa Pamoja.

Katika kudhihirisha kuwa kinywaji hicho kimechangia maendeleo miongoni mwa China na Afrika, tokea mwaka 2011 Chuo Kikuu cha Kilimo cha China (CAU) kimekuwa kikishirikiana na Mkoa wa Morogoro nchini Tanzania kutekeleza mradi wa ‘Teknolojia Ndogo, Mavuno Makubwa’.

Mradi huo unalenga kuongeza uzalishaji wa mahindi na mapato ya wakulima, na kuhamasisha “uzoefu wa China” wa kuongeza uzalishaji wa mahindi kwa upandaji wa karibu.

Mradi huo umefanikiwa kwa kiasi kikubwa, na mapato ya wakulima yameongezeka kwa kiasi kikubwa.

Kwamba Mradi huo umepewa tuzo ya ‘Mfano Bora wa Ushirikiano wa Kusini-Kusini’ na Umoja wa Mataifa, na umejumuishwa katika Mradi wa Kupunguza Umaskini na Kuleta Faida za Kilimo kati ya Miradi Tisa ya Jukwaa la Ushirikiano wa China na Afrika (FOCAC) mwaka 2021.

Mnamo mwaka 2021, Chuo Kikuu cha Kilimo cha China kiliboresha mradi wa ‘Teknolojia Ndogo, Mavuno Makubwa’ kuwa mradi wa pamoja wa ‘Soya Ndogo, Lishe Bora’, na kuchagua vijiji vinne kuanzisha mradi huo kama vijiji vya mfano.

Kupitia kilimo cha mazao mchanganyiko ya mahindi na soya, mradi huo umeifanya ardhi kuwa na rutuba zaidi na kuboresha ufanisi wa matumizi ya ardhi kwa jumla.

Kama matokeo ya mradi huo, mavuno ya soya yaliongezeka kutoka takriban kilo 100 kwa ekari hadi kilo 533 kwa ekari.

Pia mradi huo unawafundisha wakulima wa Afrika utengenezaji wa maziwa ya soya, usindikaji wa mazao ya soya na teknolojia nyingine nyingi, ambazo sio tu zinaboresha lishe na afya za watu, lakini pia zinachochea uundaji na maendeleo ya michakato kamili ya biashara kutoka upandaji hadi uzalishaji, usindikaji na uuzaji.

Kwamba Mradi huo unaelezea kwa ufanisi maana kubwa ya kupunguza umaskini na kuleta faida za kilimo, ni mfano mwingine wa maendeleo na ushirikiano wa kilimo kati ya China na Afrika.

Agosti mwaka jana 2024, mradi wa Teknolojia Ndogo, Mavuno Makubwa: Soya Ndogo, Lishe Bora wa Chuo Kikuu cha Kilimo cha China ulionyeshwa katika Maonyesho ya Kimataifa ya Kilimo ya Tanzania.

Katika maonyesho hayo, wakazi na maofisa kutoka vijiji vinavyoshiriki mradi huo walionesha namna ya kupukuchua mahindi kwa mikono na kutengeneza maziwa ya soya kwa kutumia kinu, mbinu ambazo walijifunza kutoka kwa timu ya Wachina.

Jambo hilo liliwavutia watazamaji wengi, wakiwemo maofisa wa kilimo, wahadhiri wa teknolojia za kilimo na wakulima wawakilishi kutoka nchini Tanzania.

Pia Waziri Mkuu mstaafu wa Tanzania,Mizengo  Pinda, alivutiwa na kutazama kwa makini mchakato wa kutengeneza maziwa ya soya.

Utekelezaji wa mafanikio wa mradi wa Soya Ndogo, Lishe Bora” ni mfano mzuri wa kushirikisha uzoefu wa China katika maendeleo ya kilimo na kupunguza umaskini nchini Tanzania.

Huu sio tu unatatua tatizo la upungufu wa ulaji wa protini, bali pia unaleta fursa mpya kwa wakulima kuongeza mapato yao, na kufurahisha upatikanaji wa lishe bora kwa waafrika.

Katika siku zijazo, miradi mingi zaidi ya ushirikiano wa Kusini-Kusini ukiweno wa Soya Ndogo, Lishe Bora utaendelea kuthibitisha urafiki wa China na Tanzania kwa vitendo halisi, kuimarisha dhamira ya pamoja ya China na Afrika kushirikiana kuendeleza mambo ya kisasa, na kuingiza nguvu mpya katika ujenzi wa Jumuiya ya China – Afrika yenye Mustakabali wa Pamoja.

Mwandishi : Ning Yi, ni mwalimu wa Kiswahili kutoka Chuo Kikuu cha Taaluma za Kimataifa cha Shanghai (SISU).

Barua pepe:02706@shisu.edu.cn

Mwandishi  :Song Yiting, Mwanafunzi wa Shahada ya Pili kutoka Chuo Kikuu cha Taaluma za Kimataifa cha Shanghai (SISU).

Barua pepe:Yiting_Mo@126.com

 

You Might Also Like

MATUKIO YALIYOJIRI KUANZIA JANUARI 2024, HADI SASA DISEMBA 2024:

UDSM Chang’ara STICE – 2024 Kupitia Mhadhiri Na Mtafiti Wake Dkt. Mmochi

Kitabu cha Utamaduni na Maendeleo Nchini Tanzania, Chaimarisha Mawasiliano ya Kitamaduni Baina ya China, Tanzania

Kwelea Kwelea, Nzige, Viwavi Jeshi Kudhibitiwa Kwa Haraka

Shen Zhiying: Mkongwe Aliyeanzisha Kozi Ya Kiswahili Nchini China

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Madaktari Bingwa, Wauguzi Wabobevu Wa Mama Samia Watoa Mafunzo Ya Huduma Kwa Mama Na Mtoto, Hospitali Ya Wilaya Ya Singida
Next Article Watafiti Mradi Wa  AGRISPAK kutoka SUA Waanza Uandaaji Wa Vitabu Vidogo
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

NSSF Yaendelea Kutoa Elimu Ya Hifadhi Ya Jamii ‘ Karibu Tukuhudumie’
Habari June 21, 2025
Wananchi Watakiwa Kutowachagua Watoa Rushwa
Habari June 19, 2025
Kihenzile: Mifumo Ijengwe Kuhakikisha Huduma Zinapatikana Kwa Haraka, Salama, Zenye tija
Habari June 19, 2025
MOI Yawasogelea Dodoma, Mikoa Jirani
Habari June 19, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?